Ole Gunnar amchapa Sir Ferguson
Baada ya klabu ya Manchester United kuibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Manchester City jana Machi 7, 2021 kwenye dimba la Etihad, sasa Ole Gunnar Solskjær ameweka rekodi ambayo hata kocha wa heshima wa timu hiyo Sir Alex Ferguson hakuiweka.