Ole Gunnar amchapa Sir Ferguson

Ole Gunnar Solskjær na Sir Alex Ferguson

Baada ya klabu ya Manchester United kuibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Manchester City jana Machi 7, 2021 kwenye dimba la Etihad, sasa Ole Gunnar Solskjær ameweka rekodi ambayo hata kocha wa heshima wa timu hiyo Sir Alex Ferguson hakuiweka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS