'Iwe mvua iwe jua' Yanga yatoa tamko Afisa Muhamasishaji wa Yanga Antonio Nugaz Kuelekea mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara kati ya wenyeji Polisi Tanzania dhidi ya wageni wao Yanga SC kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Afisa Muhamasishaji wa Yanga Antonio Nugaz amesema wapo tayari. Read more about 'Iwe mvua iwe jua' Yanga yatoa tamko