Hatimaye Yanga yakubali kipigo cha kwanza VPL.

Wachezaji wa kikosi cha Yanga wakiwapungia mikono mashabiki wake kabla ya mchezo dhidi ya Coastal Union.

Vinara wa ligi kuu soka Tanzania bara, klabu ya Yanga, jioni ya leo tarehe 5 Machi 2021, imepoteza mchezo wake wa kwanza msimu huu kwenye ligi hiyo baada ya kufungwa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji wa mchezo huo, klabu ya Coastal Unioni kwenye dimba la Mkwakwani jijini Tanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS