Waziri Kalemani atoa miezi 9 kwa TANESCO Waziri wa Nishati, Dk. Medard Matogolo Kalemani Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, ametoa muda wa miezi tisa kuanzia sasa, kuhakikisha ujenzi wa kituo cha kupozea umeme kinachojengwa mkoa wa Simiyu, uwe umekamilika. Read more about Waziri Kalemani atoa miezi 9 kwa TANESCO