Barcelona yafuzu fainali mbele ya wagombe urais

FC Barcelona

Klabu ya soka ya FC Barcelona imetinga fainali ya michuano ya kombe la mfalme (Copa del rey), baada ya kuifunga Sevilla mabao 3-0 kwenye mchezo wa mkondo wa pili wa nusu fainali kwa ushindi wa jumla wa magoli 3-2.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS