Kisa cha binti anayedaiwa kubakwa mwaka mzima
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Anna Henga, ametoa ushuhuda wa binti aliyekuwa akibakwa na bosi wake kwa mwaka mzima kwa lengo la kulinda ajira yake lakini walipotaka kumsaidia alikimbia kwa kuhofia kupoteza kazi.