Kenya yapokea shehena ya chanjo ya Covid-19

Shehena ya chanjo ya Covid-19, dozi milioni 1.02 za Oxford-AstraZeneca zilivyotua Kenya.

Shehena ya chanjo ya Covid-19, dozi milioni 1.02 za Oxford-AstraZeneca imetua katika uwanja wa Jomo Kenyatta Jijini Nairobi nchini Kenya, ikitokea taifa la India.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS