Manula yupo fiti kuivaa Al Merrikh

Aishi Manula

Klabu ya Simba SC imethibitisha kuwa hali ya kiafya ya goli kipa namba moja wa kikosi hicho ambaye pia ni kipa wa timu ya taifa ya Tanzania Aishi Manula imeendelea kuimarika baada ya kupata matibabu, kipa huyo alipoteza fahamu jana kwenye mchezo wa ligi kuu dhidi ya JKT Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS