Solskjaer awatupia lawama waamuzi
Kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer amemtupia lawama mwamuzi wa kati, Stuart Atwell kwa kushindwa kutoa penalty kwa upande wao baada ya kudai winga wa Chelsea, Callum Hudson-Odoi aliucheza mpira kwa mkono jambo lilipelekea wakose ushindi muhimu.