Draymond Green alia na majeraha
Mshambuliaji nyota wa timu ya Golden State Warriors, Draymond Green ameshindwa kuendelea na mchezo uliomalizika kwa timu yake ya kufungwa kwa alama 117 dhidi ya 91 na Mabingwa watetetzi, LA Lakers alfajiri ya kuamkia leo baada ya kupata maumivu ya kifundo cha mguu.