Mpango wa JKT mbele ya Simba SC

Ligi Kuu leo Simba Vs JKT Tanznaia

Ligi Kuu soka Tanzania bara itaendelea leo kwa mchezo mmoja ukiwa ni mzunguko wa 22 katika uwanja wa Benjamini Mkapa, mabingwa watetezi Simba SC watakuwa wenyeji wa JKT Tanzania ya Dodoma mchezo utapigwa majira ya Saa 1:00 usiku.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS