Diaspora wenye fedha kufuatiliwa 

Waziri wa Ofisi ya Rais Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo

Serikali imesema kuwa kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, itahakikisha inawafuatilia Watanzania wenye fedha wanaoishi nje ya nchi ili waweze kuja kuwekeza hapa nchini kwa lengo la kukuza uchumi wa nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS