Ngorongoro Heroes kusuka au kunyoa leo, AFCON U20

Wachezaji wa Ngorongoro Heroes wakifanya mazoezi ya mwisho kabla ya kuwavaa Morocco leo.

Timu ya taifa ya Tanzania chini ya miaka 20 'Ngorongoro Heroes', saa 4:00 usiku wa leo Februari 22,  2021 inataraji kushuka dimbani kucheza dhidi ya Morocco U20 kwenye mchezo wa mwisho kundi C kuwania nafasi ya kutinga hatua ya robo fainali ya michuano ya AFCON U20 nchini Mauriatania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS