Moto wateketeza mabweni shule ya Sangiti

Pichani mabweni ya Shule ya Sekondari ya Sangiti iliyopo kata ya Kirima Kibosho yakiungua moto.

Wanafunzi 180 katika shule ya sekondari ya wasichana Sangiti iliopo kata ya Kirima Kibosho wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wamenusurika kifo baada ya mabweni manne ya kidato cha tatu na cha nne ya  shule hiyo kuteketea kwa moto na kuteketeza samani pamoja na mali za wanafunzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS