Yanga SC yaishtumu TFF kuihujumu

Kaimu Mwenyekiti wa Yanga, Fredrick Mwakalebela akiongea na Wanahabari mchana wa leo kuelezea malalamiko yao ya kuhujumiwa.

Klabu ya Yanga kupitia kwa Makamu wake Mwenyekiti Fredrick Mwakalebela, imesema haitendewi haki na mamlaka za soka nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS