Waziri Mkuu atoa neno uvaaji wa barakoa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amewataka Watanzania kuvaa barakoa wanazotengeneza wenyewe au zile zinazozalishwa na viwanda vya hapa nchini na siyo kuvaa zinazozalishwa nje bila kujiridhisha mahali zinapotoka. Read more about Waziri Mkuu atoa neno uvaaji wa barakoa