Waziri Mkuu atoa neno uvaaji wa barakoa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amewataka Watanzania kuvaa barakoa wanazotengeneza wenyewe au zile zinazozalishwa na viwanda vya hapa nchini na siyo kuvaa zinazozalishwa nje bila kujiridhisha mahali zinapotoka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS