Kauli ya Vicky Kamata baada ya mume wake kufariki

Vicky Kamata, akiwa na mume wake Dkt.Servacius Likwelile, wakati wa uhai wake

Aliyewahi kuwa mbunge wa Viti Maalum Vicky Kamata, ameandika kuwa alidhani yeye ni jasiri, baada ya kumpoteza mume wake Dkt.Servacius Likwelile, aliyefariki dunia hii leo baada ya kuugua ghafla

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS