Taifa Stars yatolewa CHAN

Kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars Etienne Ndayiragije

Timu ya  Taifa  ya Tanzania 'Taifa  Stars' kwa wachezaji wa ndani, imetolewa  katika mashindano ya CHAN yanayoendelea nchini Cameroon, baada ya kupata sare ya 2-2 katika mchezo wa mwisho wa kundi D, dhidi ya  Guinea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS