Simba yasajili mshambuliji wa Nigeria

Junior Lokosa anajiunga na Simba akiwa mchezaji huru baada ya kuvunja mkataba na klabu ya Esperance ya Tunisia mwezi Julai mwaka 2020

Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa mshambuliaji Junior Lokosa raia wa Nigeria. Mkataba wa mchezaji huyo haujawekwa wazi kasaini mkataba wa muda gani na sasa safu ya ushambuliaji ya mabingwa hao wa Tanzania bara inafikisha idadi ya washambuliaji 4.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS