RC Kilimanjaro alia na TANESCO 'Toeni taarifa'

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira.

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira, amelitaka Shirika la umeme nchini (TANESCO), kuhakikisha wanatoa taarifa mapema kabla hawajakata umeme ili isiweze kuleta madhara kwa wananchi na wafanyabishara wakubwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS