Serikali yatoa neno kuhusu zuio la Uingereza

Kushoto ni Mkurugenzi wa Habari Wizara ya Mambo ya Nje, Emmanuel Buhohela, na kulia ni Katibu Mkuu wa Uchukuzi wa Uingereza Grant Shapps

Mkurugenzi wa Habari Wizara ya Mambo ya Nje, Emmanuel Buhohela, amesema kuwa wao hawana taarifa rasmi kwamba Uingereza imepiga marufuku wasafiri kutoka nchini Tanzania kuingia nchini humo na kueleza kuwa hayo ni mambo ya mitandaoni na wao hawayafuatilii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS