Wawili mbaroni kwa wizi wa dawa akiwemo muuguzi
Muuguzi wa zahanati ya Nyamalogo Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga William Desdez na Fedson Matekele wanashikiliwa na Jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga kwa tuhuma ya wizi wa madawa katika zahanati ya Nyamalogo.