Wanaojimilikisha nyumba za urithi wapewa onyo kali
Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Ilala, Christopher Myava
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ,(TAKUKURU) ,mkoa wa Ilala, imetoa onyo kali kwa waliokuwa wanajimilikisha viwanja na nyumba za urithi kinyume na utaratibu.