Barcelona yapokea majibu ya Covid-19

Nyota wa Barcelona Lionel Messi

Baada ya maafisa wawili wa Barcelona kuripotiwa na Covid-19 usiku wa jumatatu na kupelekea kambi ya mazoezi ya klabu hiyo kufungwa kwa muda, hii leo majibu ya vipimo vya Covid-19 vimetoka na kuonesha wachezaji wa wote wa Barcelona hawana Covid-19.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS