Waziri apiga marufuku wakurugenzi kufanya haya

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki, amewataka wakurugenzi wa halmashauri zenye masoko ya samaki ya kimataifa kuacha kupanga tozo za mazao ya uvuvi bila kuwasiliana na wizara hiyo ili kuondoa kero za tozo zinazowakumba wananchi wanaofanya biashara katika maeneo hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS