Urithi wa Mkapa kwa Watanzania
Usiku wa kuamkia Julai 24, 2020, Tanzania ilipata pigo kubwa baada ya kuondokewa na Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin William Mkapa, aliyefariki dunia katika moja ya hospitali zilizopo ndani ya jiji la Dar es Salaam, taarifa ambazo zilitolewa na Rais Dkt. John Magufuli.