Urithi wa Mkapa kwa Watanzania

Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa, wakati wa uhai wake.

Usiku wa kuamkia Julai 24, 2020, Tanzania ilipata pigo kubwa baada ya kuondokewa na Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin William Mkapa, aliyefariki dunia katika moja ya hospitali zilizopo ndani ya jiji la Dar es Salaam, taarifa ambazo zilitolewa na Rais Dkt. John Magufuli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS