TFF yatoa ufafanuzi kikosi cha CHAN

Timu ya taifa ya Tanzania Taifa stars inashiriki fainali za CHAN kwa mara ya pili, mara ya kwanza ilikuwa mwaka 2009

Mkurugenzi wa Ufundi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF Oscar Milambo, amesema malengo ya timu ya taifa ya TanzaniaTaifa Stars, kwenye michuano ya CHAN ni kuvuka hatua ya makundi ya michuano hiyo itakayofanyika nchini Cameroon mwezi Januari 2021.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS