Shilole ajibu kichambo cha Mange Kimambi

Kushoto ni msanii Shilole na kulia ni Mange Kimambi

Ni 'headlines' za burudani ambapo kutoka jamhuri ya watu wa mtandao wa Instagram imetawala stori ya vichambo kutoka kwa mwanamitandao Mange Kimambi na msanii na mfanyabiashara Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS