Askari aliyeokoa mtoto hakuwa eneo lake la kazi

Kushoto ni Koplo Denis Minja aliyeokoa mtoto chooni na kulia ni Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Kagera, Hamis Dawa.

Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Koplo Denis Minja, ambaye mwezi Mei alimwokoa mtoto mchanga akiwa hai ndani ya shimo la choo wilayani Ngara mkoani Kagera, amemwokoa tena mtoto mwingine wa kiume mwenye umri wa miaka 2, kutoka katika shimo la choo, eneo la Kayanga wilayani Karagwe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS