Haya ndiyo majimbo aliyoyatarajia Lipumba
Mwenyekiti wa Chama cha wananchi (CUf), Prof. Ibrahim Lipumba amezindua rasmi kongamano lenye lengo la kutetea maslahi na haki za wananchi nakusema kuwa uchaguzi wa mwaka huu alitegemea kuchukua viti 15 kwa upande wa ubunge.