Gigy Money awaombea msaada Amber Rutty na mumewe
Msanii Gigy Money amewaomba watu wa jamhuri ya mtandao wa Instagram kuchangia japo shilingi elfu 1 'bukubuku' kwa kila mmoja kwani inatosha kulipa faini ya kumtoa msanii Amber Rutty na mumewe ambao wapo nyuma ya nondo kwa sasa.