Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo na kulia ni Baba yake mzazi marehemu Mzee Urban Costa Ndunguru.
Baba yake mzazi na Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo, Mzee Urban Costa Ndunguru, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Desemba 19, 2020, katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa anapatiwa matibabu.