"Niliporipoti kazini sikuwa na gari"- Dkt. Abbas Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas Wahitimu wanaomaliza vyuo hapa nchini wametakiwa kuonesha uvumilivu na kukazania matarajio wanayoyataka katika maisha ili waweze kuinuka kiuchumi na maisha kwa ujumla. Read more about "Niliporipoti kazini sikuwa na gari"- Dkt. Abbas