Mara ; Kijana atishia kumuuwa Mama yake Mzazi
Mama mwenye umri wa miaka 54, Mariam Josia, mkazi wa Kitongoji cha Kiabakari kijiji cha Nyambuli wilayai Serengeti mkoani Mara, amesema amekuwa akitishiwa kuuawa na mtoto wake wa kiume aitwaye Juma Mkami.