Mradi wa kuzalisha samaki Mil.1, wakutwa na watano
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi, amewaagiza mawaziri wake kuhakikisha wanafuatilia kwa ukaribu miradi yote yenye udanganyifu, ukiwemo ule wa kutotoresha vifaranga vya samaki uliokutwa na samaki watano pekee.