Yanga maarufu 'rais wa Tanga' ahukumiwa miaka 30
Mahakama ya Uhujumu Uchumi, imemuhukumu kwenda jela kutumikia kifungo cha miaka 30 mfanyabiashara Yanga Omari, maarufu kama rais wa Tanga,baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kusafirisha na kuuza madawa ya kulevya aina ya Heroin kiasi cha gramu 1052.63.