Yanga maarufu 'rais wa Tanga' ahukumiwa miaka 30

Mahakama Kuu Kanda ya Tanga

Mahakama ya Uhujumu Uchumi, imemuhukumu kwenda jela kutumikia kifungo cha miaka 30 mfanyabiashara Yanga Omari, maarufu kama rais wa Tanga,baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kusafirisha na kuuza madawa ya kulevya aina ya Heroin kiasi cha gramu 1052.63.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS