Isco kutimka Santiago Bernabeu?

Nyota wa Real Madrid, Isco akiwa kibaruani katika klabu yake.

Kiungo mchezeshaji wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Uhispania Isco Alarcon huenda akaondoka Real Madrid na kwenda klabu nyingine baada ya Kukosa nafasi kwenye kikosi cha kwanza chini ya kocha Zinedine Zidane.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS