Alichokisema Stamina kuhusu Prof Jay
MwanaHipHop Stamina Shorwebwenzi amesema msanii na mwanasiasa Prof Jay anatakiwa heshima ya kipekee kwani amekuwa na ushawishi kwa wasanii wengine pia alibadilisha akili za wazee ambao walikuwa wanaamini muziki ni uhuni