Kigwangalla amaliza utata kwa Mo Dewji 

Bilionea Mo Dewji na Dr. Hamisi Kigwangalla

Mbunge wa Jimbo la Nzega mkoani Tabora ambaye pia ni mwanachama wa klabu ya Simba, Dr. Hamisi Kigwangalla amemuomba radhi mwekezaji wa klabu ya Simba, bilionea Mohammed Dewji kutokana na sintofahamu iliyotokea nyuma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS