Kigwangalla amaliza utata kwa Mo Dewji
Mbunge wa Jimbo la Nzega mkoani Tabora ambaye pia ni mwanachama wa klabu ya Simba, Dr. Hamisi Kigwangalla amemuomba radhi mwekezaji wa klabu ya Simba, bilionea Mohammed Dewji kutokana na sintofahamu iliyotokea nyuma.