Taarifa rasmi kutoka TPLB kuhusu Simba na Namungo

Mshambuliaji wa klabu ya Simba, Meddie Kagere akikatiza katikati ya wachezaji wa Namungo katika moja ya mechi ya VPL msimu uliopita.

Bodi ya Ligi imefanya mabadiliko ya ratiba ya mechi za Simba na Namungo Fc kutokana na timu hizo kukabiliwa na majukumu ya kuiwakilisha nchi kwenye michuano iliyochini ya Shirikisho la mpira wa miguu Afrika 'CAF'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS