Taarifa rasmi kutoka TPLB kuhusu Simba na Namungo
Bodi ya Ligi imefanya mabadiliko ya ratiba ya mechi za Simba na Namungo Fc kutokana na timu hizo kukabiliwa na majukumu ya kuiwakilisha nchi kwenye michuano iliyochini ya Shirikisho la mpira wa miguu Afrika 'CAF'.