Pierre Aubameyang akishangilia goli alilofunga dhidi ya Manchester United
Nahodha wa Arsenal na timu ya Taifa ya Gabon Pierre Emerick Aubameyang amekodi ndege binafsi ya kifahari, kumpeleka nyumbani kwao Gabon kwa ajili ya mchezo dhidi ya Gambia wa kufuzu kombe la mataifa ya Africa.