Changamoto za watoto zatakiwa kuainishwa

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii) Dkt. John Jingu

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii) Dkt. John Jingu amewataka waandishi wa Habari nchini kuandika habari zinazoijenga jamii na zenye kuainisha changamoto za watoto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS