Taarifa mbaya kuhusu Mbwana Samatta

Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta akishangilia bao alilofunga dhidi ya Harambee Stars katika michuano ya AFCON,2019 iliyofanyika nchini Misri.

Nahodha na mshambuliaji tegemeo wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta atakosekana katika mechi ijayo dhidi ya Tunisia ambayo ni ya kufuzu fainali za mataifa ya Afrika mwakani kufuatia kupata majeraha ya nyama za paja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS