Simba inapaswa kujibu swali hili kwanza

Kiungo wa Simba, Hassan Dilunga akikokota mpira katikati ya viungo wa UD Songo katika mchezo wa ligi ya mabingwa hatua ya awali ambapo mnyama aliondolewa baada ya sare ya bao 1-1.

Michuano mikubwa ngazi ya vilabu barani Afrika imewadia ambapo Tanzania bara na Visiwani imefahamu wapinzani halisi katika hatua  za awali ili kusaka tiketi ya kucheza hatua ya makundi katika ligi ya mabingwa na kombe la shirikisho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS