Ahadi ya Rais Magufuli kwa Watanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli ameahidi kuwatumikia watanzania bila kujali itikadi za vyama wala dini ili kuendelea kukuza uchumi wa taifa katika kipindi cha miaka mitano ya awamu ya pili ya uongozi wake.