Ndugai atoa neno kwa wabunge ambao hawajaapishwa

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai.

Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, amesema kuwa Rais Magufuli atalihutubia Bunge na Taifa siku ya Ijumaa ya Novemba 13, 2020, ikiwa ni ishara ya kuanza rasmi kwa shughuli za Bunge la 12.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS