TAKUKURU yaokoa bil.12 ujenzi stendi ya Mbezi

Mkurugenzi Mkuu TAKUKURU Jenerali John Mbungo

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa kushirikiana na na Mkurugenzi wa Jiji la Dar es salaam Bi,Zipora Liana imesema imefuatilia utekelezaji wa mradi wa stendi mpya ya mabasi mbezi na kufanikiwa kudhibiti zaidi ya shilingi bilioni 12 .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS