Nahodha wa Yanga, Lamine Moro akiwa katika moja ya mchezo wa klabu yake.
Nahodha wa timu ya Yanga, Lamine Moro ameweka wazi kuwa mchezo wa kesho wa ligi dhidi ya KMC utakaochezwa katika uwanja wa CCM Kirumba utakuwa mgumu lakini wamejipanga kuhakikisha wanapata alama zote tatu.