Magufuli aeleza alivyomjengea barabara Msuya

Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Dkt John Magufuli

Katika muendelezo wa kampeni za urais Tanzania, mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Dkt John Magufuli ameeleza sababu zilizofanya asimamie kikamilifu ujenzi wa Barabara ya kwenda kwa Waziri Mstaafu Cleopa Msuya wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS