Magufuli aeleza alivyomjengea barabara Msuya
Katika muendelezo wa kampeni za urais Tanzania, mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Dkt John Magufuli ameeleza sababu zilizofanya asimamie kikamilifu ujenzi wa Barabara ya kwenda kwa Waziri Mstaafu Cleopa Msuya wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro.