Kocha wa zamani wa Yanga apata ulaji Kenya FKF ikifanya utambulisho wa Jacob Mulee ambaye sasa ndiye kocha mkuu wa Harambee Stars. Shirikisho la Soka nchini Kenya limemteua Jacob 'Ghost' Mulee kuwa kocha mkuu mpya wa Harambee Stars. Read more about Kocha wa zamani wa Yanga apata ulaji Kenya